Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Nao wote pamoja wakakata shauri na kutangaza amri ya kuwa siku hii isisahauliwe kamwe, bali siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili – uitwao Adari kwa lugha ya Kishamu – yaani ile siku kabla ya Siku ya Mordekai, iwe sikukuu ya kuadhimishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Kwa kauli moja iliamuliwa kwamba siku hiyo isisahauliwe kamwe, bali iadhimishwe kila mwaka siku inayotangulia siku ya Mordekai, yaani, siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili uitwao Adari kwa Kiaramu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Kwa kauli moja iliamuliwa kwamba siku hiyo isisahauliwe kamwe, bali iadhimishwe kila mwaka siku inayotangulia siku ya Mordekai, yaani, siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili uitwao Adari kwa Kiaramu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Nao wote pamoja wakakata shauri na kutangaza amri ya kuwa siku hii isisahauliwe kamwe, bali siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili – uitwao Adari kwa lugha ya Kishamu – yaani ile siku kabla ya Siku ya Mordekai, iwe sikukuu ya kuadhimishwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

36 Kwa kauli moja iliamuliwa kwamba siku hiyo isisahauliwe kamwe, bali iadhimishwe kila mwaka siku inayotangulia siku ya Mordekai, yaani, siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili uitwao Adari kwa Kiaramu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:36
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo