Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Akaukata ulimi wa yule mwovu Nikano, akasema atautupia kwa ndege vipande vipande, na kutungika mapato ya ujinga wake kupaelekea patakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Kisha akaukata ulimi wa yule mkufuru, akiahidi atawatupia ndege wale, na mabaki ya kichwa kuyaning'iniza mkabala na hekalu, yawe ushindi wa mapato ya upumbavu wa Nikanori.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Kisha akaukata ulimi wa yule mkufuru, akiahidi atawatupia ndege wale, na mabaki ya kichwa kuyaning'iniza mkabala na hekalu, yawe ushindi wa mapato ya upumbavu wa Nikanori.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Akaukata ulimi wa yule mwovu Nikano, akasema atautupia kwa ndege vipande vipande, na kutungika mapato ya ujinga wake kupaelekea patakatifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

33 Kisha akaukata ulimi wa yule mkufuru, akiahidi atawatupia ndege wale, na mabaki ya kichwa kuyaning'iniza mkabala na hekalu, yawe ushindi wa mapato ya upumbavu wa Nikanori.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:33
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo