Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Yeye, aliyekuwa tayari sikuzote, mwili na roho, kuwashindania Wayahudi wenzake, aliyehifadhi katika maisha yake yote ile nia njema kwao ya ujana wake, aliwaagiza wakate kichwa cha Nikano na mkono wake penye bega na kuvipeleka Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Yuda Makabayo, ambaye daima alikuwa amepiga vita kwa nguvu zake zote na kwa moyo wake wote kwa ajili ya Wayahudi wenzake, bila kupoteza kamwe wema wake wa ujanani, akawaamuru watu wake kukata kichwa cha Nikanori na mkono wake wa kulia na kupeleka Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Yuda Makabayo, ambaye daima alikuwa amepiga vita kwa nguvu zake zote na kwa moyo wake wote kwa ajili ya Wayahudi wenzake, bila kupoteza kamwe wema wake wa ujanani, akawaamuru watu wake kukata kichwa cha Nikanori na mkono wake wa kulia na kupeleka Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Yeye, aliyekuwa tayari siku zote, mwili na roho, kuwashindania Wayahudi wenzake, aliyehifadhi katika maisha yake yote ile nia njema kwao ya ujana wake, aliwaagiza wakate kichwa cha Nikano na mkono wake penye bega na kuvipeleka Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

30 Yuda Makabayo, ambaye daima alikuwa amepiga vita kwa nguvu zake zote na kwa moyo wake wote kwa ajili ya Wayahudi wenzake, bila kupoteza kamwe wema wake wa ujanani, akawaamuru watu wake kukata kichwa cha Nikanori na mkono wake wa kulia na kupeleka Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:30
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo