Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Baada ya mapigano, walipokuwa wakirudi kwa furaha, walimwona Nikano, amevaa silaha zake zote, amelala chini amekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Baada ya vita, walipokuwa wanarudi nyumbani huku wanafurahia ushindi wao, wakamwona Nikanori katika uwanja wa mapambano, amekufa, akiwa amevaa silaha zake zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Baada ya vita, walipokuwa wanarudi nyumbani huku wanafurahia ushindi wao, wakamwona Nikanori katika uwanja wa mapambano, amekufa, akiwa amevaa silaha zake zote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Baada ya mapigano, walipokuwa wakirudi kwa furaha, walimwona Nikano, amevaa silaha zake zote, amelala chini amekufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

28 Baada ya vita, walipokuwa wanarudi nyumbani huku wanafurahia ushindi wao, wakamwona Nikanori katika uwanja wa mapambano, amekufa, akiwa amevaa silaha zake zote.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:28
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo