Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Kwa mikono yao walipigana, na kwa mioyo yao walimwomba Mungu; na hivi waliua watu wasiopungua elfu thelathini na tano, wakifurahishwa sana kwa msaada dhahiri wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Kwa mikono yao walipiga vita; kwa mioyo yao walimwomba Mungu; hivi Wayahudi wakawaua maadui zaidi ya 35,000. Shukrani yao haikuwa na kifani kwa msaada huo waliokuwa wamepata kutoka kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Kwa mikono yao walipiga vita; kwa mioyo yao walimwomba Mungu; hivi Wayahudi wakawaua maadui zaidi ya 35,000. Shukrani yao haikuwa na kifani kwa msaada huo waliokuwa wamepata kutoka kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Kwa mikono yao walipigana, na kwa mioyo yao walimwomba Mungu; na hivyo waliua watu wasiopungua elfu thelathini na tano, wakifurahishwa sana kwa msaada dhahiri wa Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

27 Kwa mikono yao walipiga vita; kwa mioyo yao walimwomba Mungu; hivi Wayahudi wakawaua maadui zaidi ya 35,000. Shukrani yao haikuwa na kifani kwa msaada huo waliokuwa wamepata kutoka kwa Mungu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:27
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo