Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Maombi yake yalikuwa hivi; Wewe, BWANA, Mfalme mkuu, zamani za Hezekia, mfalme wa Uyahudi, ulimpeleka malaika wako akaua watu mia themanini na elfu tano wa jeshi la Senakeribu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Basi, akamwomba Mungu hivi: “Bwana, Hezekia alipokuwa mfalme wa Uyahudi, ulimtuma malaika wako, akawaua watu 185,000 wa jeshi la mfalme Senakeribu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Basi, akamwomba Mungu hivi: “Bwana, Hezekia alipokuwa mfalme wa Uyahudi, ulimtuma malaika wako, akawaua watu 185,000 wa jeshi la mfalme Senakeribu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Maombi yake yalikuwa hivi; Wewe, BWANA, Mfalme mkuu, zamani za Hezekia, mfalme wa Uyahudi, ulimpeleka malaika wako akaua watu mia themanini na elfu tano wa jeshi la Senakeribu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

22 Basi, akamwomba Mungu hivi: “Bwana, Hezekia alipokuwa mfalme wa Uyahudi, ulimtuma malaika wako, akawaua watu 185,000 wa jeshi la mfalme Senakeribu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:22
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo