Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Makabayo akatazama majeshi makubwa mbele yake, na silaha zao za kila namna, na tembo wakali, akanyosha mikono yake kuelekea mbinguni akamsihi BWANA atendaye miujiza, maana alijua ya kuwa ushindi hauji kwa silaha, ila ni Mungu anayewapa wao walioustahili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Basi, Yuda Makabayo akaangalia hilo jeshi kubwa la maadui, silaha zao za ainaaina, na tembo wao wakali. Halafu akainua mikono yake kuelekea mbinguni, akamwomba Bwana ambaye hutenda maajabu, maana alijua kwamba Bwana huwapa ushindi wale wanaostahili, si wale ambao wana jeshi lenye nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Basi, Yuda Makabayo akaangalia hilo jeshi kubwa la maadui, silaha zao za ainaaina, na tembo wao wakali. Halafu akainua mikono yake kuelekea mbinguni, akamwomba Bwana ambaye hutenda maajabu, maana alijua kwamba Bwana huwapa ushindi wale wanaostahili, si wale ambao wana jeshi lenye nguvu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Makabayo akatazama majeshi makubwa mbele yake, na silaha zao za kila namna, na tembo wakali, akanyosha mikono yake kuelekea mbinguni akamsihi BWANA atendaye miujiza, maana alijua ya kuwa ushindi hauji kwa silaha, ila ni Mungu anayewapa wao walioustahili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

21 Basi, Yuda Makabayo akaangalia hilo jeshi kubwa la maadui, silaha zao za ainaaina, na tembo wao wakali. Halafu akainua mikono yake kuelekea mbinguni, akamwomba Bwana ambaye hutenda maajabu, maana alijua kwamba Bwana huwapa ushindi wale wanaostahili, si wale ambao wana jeshi lenye nguvu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:21
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo