Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Basi, wote walikuwa wakingojea matokeo ya mashindano. Adui walikuwa wamekusanyana na kujipanga tayari kwa vita; tembo wamewekwa mahali pa kufaa, na wapanda farasi kandokando.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kila mmoja alikuwa anangoja kuona nani angeshinda vita hivyo. Askari wa maadui walikuwa wanasonga mbele, wakiandamana na wapandafarasi kulia na kushoto kwao, na tembo wao wamewaweka katika sehemu muhimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kila mmoja alikuwa anangoja kuona nani angeshinda vita hivyo. Askari wa maadui walikuwa wanasonga mbele, wakiandamana na wapandafarasi kulia na kushoto kwao, na tembo wao wamewaweka katika sehemu muhimu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Basi, wote walikuwa wakingojea matokeo ya mashindano. Adui walikuwa wamekusanyana na kujipanga tayari kwa vita; tembo wamewekwa mahali pa kufaa, na wapanda farasi kandokando.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

20 Kila mmoja alikuwa anangoja kuona nani angeshinda vita hivyo. Askari wa maadui walikuwa wanasonga mbele, wakiandamana na wapandafarasi kulia na kushoto kwao, na tembo wao wamewaweka katika sehemu muhimu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:20
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo