Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Wayahudi walioshurutishwa kufuatana naye walisema, Usiharibu hivi kwa ukatili na ushenzi; iadhimishe siku ambayo Yeye avitazamaye vyote ameiadhimisha na kuitakasa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Wayahudi waliokuwa wameshurutishwa kumfuata walimwomba asifanye ukatili na unyama kama huo, bali aiheshimu siku hiyo ambayo Mungu aonaye yote alikuwa ameiheshimu na kuifanya takatifu kuliko siku nyingine zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Wayahudi waliokuwa wameshurutishwa kumfuata walimwomba asifanye ukatili na unyama kama huo, bali aiheshimu siku hiyo ambayo Mungu aonaye yote alikuwa ameiheshimu na kuifanya takatifu kuliko siku nyingine zote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Wayahudi walioshurutishwa kufuatana naye walisema, Usiharibu hivi kwa ukatili na ushenzi; iadhimishe siku ambayo Yeye avitazamaye vyote ameiadhimisha na kuitakasa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

2 Wayahudi waliokuwa wameshurutishwa kumfuata walimwomba asifanye ukatili na unyama kama huo, bali aiheshimu siku hiyo ambayo Mungu aonaye yote alikuwa ameiheshimu na kuifanya takatifu kuliko siku nyingine zote.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:2
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo