Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Hofu yao kwa ajili ya wake zao na wana wao, na kwa ndugu zao pia na jamaa zao, ilikuwa si jambo zito kwao kama hofu yao kuu, iliyopita yote, kwa ajili ya hekalu takatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hofu yao haikuwa juu ya wake na watoto wao wenyewe na jamaa, ila hasa juu ya hekalu lao takatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hofu yao haikuwa juu ya wake na watoto wao wenyewe na jamaa, ila hasa juu ya hekalu lao takatifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Hofu yao kwa ajili ya wake zao na wana wao, na kwa ndugu zao pia na jamaa zao, ilikuwa si jambo zito kwao kama hofu yao kuu, iliyopita yote, kwa ajili ya hekalu takatifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

18 Hofu yao haikuwa juu ya wake na watoto wao wenyewe na jamaa, ila hasa juu ya hekalu lao takatifu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:18
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo