Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 15:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Yeremia akaunyosha mkono wake wa kuume, akampa Yuda upanga wa dhahabu na huku akimwambia, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Hapo Yeremia alinyosha mkono wake wa kulia na kumpa Yuda upanga wa dhahabu, akisema: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Hapo Yeremia alinyosha mkono wake wa kulia na kumpa Yuda upanga wa dhahabu, akisema: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Yeremia akaunyosha mkono wake wa kuume, akampa Yuda upanga wa dhahabu na huku akimwambia, Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA15 Hapo Yeremia alinyosha mkono wake wa kulia na kumpa Yuda upanga wa dhahabu, akisema: Tazama sura |