Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Oniasi, akasema, Huyu ni mpenda ndugu, mwenye kuwaombea kwa bidii sana watu wa mji mtakatifu; ndiye Yeremia, nabii wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Onia akasema: “Huyu, Yeremia, ni nabii wa Mungu, nabii ambaye anawapenda Wayahudi wenzake, na hutoa sala nyingi kwa ajili yetu na Yerusalemu, mji mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Onia akasema: “Huyu, Yeremia, ni nabii wa Mungu, nabii ambaye anawapenda Wayahudi wenzake, na hutoa sala nyingi kwa ajili yetu na Yerusalemu, mji mtakatifu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Oniasi, akasema, Huyu ni mpenda ndugu, mwenye kuwaombea kwa bidii sana watu wa mji mtakatifu; ndiye Yeremia, nabii wa Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

14 Onia akasema: “Huyu, Yeremia, ni nabii wa Mungu, nabii ambaye anawapenda Wayahudi wenzake, na hutoa sala nyingi kwa ajili yetu na Yerusalemu, mji mtakatifu.”

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:14
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo