Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Zaidi ya hayo, aliwachangamsha kwa kuwasimulia njozi iliyostahili kusadikiwa, maono ya namna hii: Alimwona Oniasi, yule aliyekuwa kuhani mkuu zamani, mtu mwema, muungwana, msharifu lakini mpole, mwenye maneno mazuri, aliyelelewa vizuri tangu utoto wake katika wema wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Aliwaeleza kwamba alikuwa amemwona katika ndoto Onia yule aliyekuwa zamani kuhani mkuu, mtu mwema na wa ajabu, mnyenyekevu na mpole, mtu aliyekuwa msemaji maarufu na ambaye alikuwa amefundishwa tangu utoto juu ya mambo mema kabisa, amenyosha mikono kuiombea jumuiya yote ya Wayahudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Aliwaeleza kwamba alikuwa amemwona katika ndoto Onia yule aliyekuwa zamani kuhani mkuu, mtu mwema na wa ajabu, mnyenyekevu na mpole, mtu aliyekuwa msemaji maarufu na ambaye alikuwa amefundishwa tangu utoto juu ya mambo mema kabisa, amenyosha mikono kuiombea jumuiya yote ya Wayahudi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Zaidi ya hayo, aliwachangamsha kwa kuwasimulia njozi iliyostahili kusadikiwa, maono ya namna hii: Alimwona Oniasi, yule aliyekuwa kuhani mkuu zamani, mtu mwema, muungwana, msharifu lakini mpole, mwenye maneno mazuri, aliyelelewa vizuri tangu utoto wake katika wema wote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

12 Aliwaeleza kwamba alikuwa amemwona katika ndoto Onia yule aliyekuwa zamani kuhani mkuu, mtu mwema na wa ajabu, mnyenyekevu na mpole, mtu aliyekuwa msemaji maarufu na ambaye alikuwa amefundishwa tangu utoto juu ya mambo mema kabisa, amenyosha mikono kuiombea jumuiya yote ya Wayahudi.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:12
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo