Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Alimvika kila mtu nguvu – siyo matumaini yaliyowekwa kwa ngao na mikuki, bali ushujaa uletwao kwa maneno mema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Aliwahimiza wawe hodari, si kwa kutegemea ngao na mikuki, bali kwa maneno ya ujasiri ya kutia moyo. Pia aliwachangamsha wote kwa kuwasimulia ndoto - aina ya maono aliyokuwa amepata, ambayo ilistahili kusadikiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Aliwahimiza wawe hodari, si kwa kutegemea ngao na mikuki, bali kwa maneno ya ujasiri ya kutia moyo. Pia aliwachangamsha wote kwa kuwasimulia ndoto - aina ya maono aliyokuwa amepata, ambayo ilistahili kusadikiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Alimvika kila mtu nguvu – siyo matumaini yaliyowekwa kwa ngao na mikuki, bali ushujaa uletwao kwa maneno mema.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

11 Aliwahimiza wawe hodari, si kwa kutegemea ngao na mikuki, bali kwa maneno ya ujasiri ya kutia moyo. Pia aliwachangamsha wote kwa kuwasimulia ndoto - aina ya maono aliyokuwa amepata, ambayo ilistahili kusadikiwa.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:11
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo