Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 15:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Nikano aliposikia ya kuwa Yuda na watu wake wako katika nchi ya Samaria, alifanya shauri kuwashambulia bila hatari siku ya kupumzika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Nikanori aliposikia kwamba Yuda na watu wake walikuwa sehemu za Samaria, alifanya mpango kuwashambulia siku ya Sabato, wakati ambapo walikuwa wamepumzika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Nikanori aliposikia kwamba Yuda na watu wake walikuwa sehemu za Samaria, alifanya mpango kuwashambulia siku ya Sabato, wakati ambapo walikuwa wamepumzika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Nikano aliposikia ya kuwa Yuda na watu wake wako katika nchi ya Samaria, alifanya shauri kuwashambulia bila hatari siku ya kupumzika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

1 Nikanori aliposikia kwamba Yuda na watu wake walikuwa sehemu za Samaria, alifanya mpango kuwashambulia siku ya Sabato, wakati ambapo walikuwa wamepumzika.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 15:1
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo