Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 kwa sababu ya upendo wa kweli nilio nao kwa mambo ya mfalme, na nia yangu njema kwa raia wenzangu. Maana kwa matata ya wale niliowataja, taifa letu lote limo taabuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 kwanza kabisa kwa sababu ninakujali sana wewe mfalme, na pili kwa sababu nawaonea huruma wananchi wenzangu, maana kutokana na fujo za kijinga za akina Yuda, taifa zima limo taabuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 kwanza kabisa kwa sababu ninakujali sana wewe mfalme, na pili kwa sababu nawaonea huruma wananchi wenzangu, maana kutokana na fujo za kijinga za akina Yuda, taifa zima limo taabuni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 kwa sababu ya upendo wa kweli nilio nao kwa mambo ya mfalme, na nia yangu njema kwa raia wenzangu. Maana kwa matata ya wale niliowataja, taifa letu lote limo taabuni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

8 kwanza kabisa kwa sababu ninakujali sana wewe mfalme, na pili kwa sababu nawaonea huruma wananchi wenzangu, maana kutokana na fujo za kijinga za akina Yuda, taifa zima limo taabuni.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:8
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo