Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:45 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

45 Akasimama, angali yu hai, hasira yake ikiwaka kama moto; hata, ingawa damu yake ilikuwa ikibubujika, naye alijeruhiwa vibaya, alikimbia upesi katikati ya watu waliosongana,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Akiwa bado hai, na anawaka kwa hasira, Razi aliinuka, na huku damu zinabubujika kutoka majeraha yake, akakimbia katikati ya msongamano wa watu, akapanda juu ya mwamba mrefu na kusimama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Akiwa bado hai, na anawaka kwa hasira, Razi aliinuka, na huku damu zinabubujika kutoka majeraha yake, akakimbia katikati ya msongamano wa watu, akapanda juu ya mwamba mrefu na kusimama.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

45 Akasimama, angali yu hai, hasira yake ikiwaka kama moto; hata, ingawa damu yake ilikuwa ikibubujika, naye alijeruhiwa vibaya, alikimbia upesi katikati ya watu waliosongana,

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

45 Akiwa bado hai, na anawaka kwa hasira, Razi aliinuka, na huku damu zinabubujika kutoka majeraha yake, akakimbia katikati ya msongamano wa watu, akapanda juu ya mwamba mrefu na kusimama.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:45
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo