Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

43 Lakini kwa sababu ya haraka, pigo lake halikuingia sawasawa; kwa hiyo, watu walipokuwa wakijivurumisha mlangoni, alikimbilia ukutani akajitupa chini katikati ya mkutano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Katika kuzidiwa na mambo, Razi alikuwa hajajichoma sawasawa upanga wake, na hivi hakuwa amekufa. Basi, askari walipokuwa wanafurika kuingia ndani, Razi akafyatuka mbio na kuruka ukuta, akajitupa kwa ushujaa, juu ya kundi la watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Katika kuzidiwa na mambo, Razi alikuwa hajajichoma sawasawa upanga wake, na hivi hakuwa amekufa. Basi, askari walipokuwa wanafurika kuingia ndani, Razi akafyatuka mbio na kuruka ukuta, akajitupa kwa ushujaa, juu ya kundi la watu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

43 Lakini kwa sababu ya haraka, pigo lake halikuingia sawasawa; kwa hiyo, watu walipokuwa wakijivurumisha mlangoni, alikimbilia ukutani akajitupa chini katikati ya mkutano.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

43 Katika kuzidiwa na mambo, Razi alikuwa hajajichoma sawasawa upanga wake, na hivi hakuwa amekufa. Basi, askari walipokuwa wanafurika kuingia ndani, Razi akafyatuka mbio na kuruka ukuta, akajitupa kwa ushujaa, juu ya kundi la watu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:43
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo