Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:41 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

41 Lakini askari walipokwisha kuuvunja mlango wa nje wakawa tayari kuutwaa mnara, wakiagiza moto wa kuichomea milango, yeye, akiona amezungukwa pande zote, aliuangukia upanga wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Askari walivunja mlango wa nje, wakawa tayari kuuteka mnara. Wakaagiza moto uletwe, na milango kuchomwa. Razi alijikuta amezungukwa na maadui, akajaribu kujiua kwa upanga wake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Askari walivunja mlango wa nje, wakawa tayari kuuteka mnara. Wakaagiza moto uletwe, na milango kuchomwa. Razi alijikuta amezungukwa na maadui, akajaribu kujiua kwa upanga wake;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

41 Lakini askari walipokwisha kuuvunja mlango wa nje wakawa tayari kuutwaa mnara, wakiagiza moto wa kuichomea milango, yeye, akiona amezungukwa pande zote, aliuangukia upanga wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

41 Askari walivunja mlango wa nje, wakawa tayari kuuteka mnara. Wakaagiza moto uletwe, na milango kuchomwa. Razi alijikuta amezungukwa na maadui, akajaribu kujiua kwa upanga wake;

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:41
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo