Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Kwa hiyo alimjia mfalme Demetrio, kunako mwaka mia moja na hamsini, akimletea zawadi ya taji la dhahabu na jani la mtende, pamoja na matawi ya mizeituni ya hekaluni. Siku ile hakusema neno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Alkimo alimwendea mfalme Demetrio, mwaka 151. Kwa nafasi hiyo alimpatia mfalme zawadi hizi: Taji ya dhahabu, tawi la mtende, na matawi ya mizeituni ambayo kijadi yalitolewa kwa hekalu. Lakini hakusema lolote juu ya mipango yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Alkimo alimwendea mfalme Demetrio, mwaka 151. Kwa nafasi hiyo alimpatia mfalme zawadi hizi: taji ya dhahabu, tawi la mtende, na matawi ya mizeituni ambayo kijadi yalitolewa kwa hekalu. Lakini hakusema lolote juu ya mipango yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Kwa hiyo alimjia mfalme Demetrio, kunako mwaka wa mia moja na hamsini, akimletea zawadi ya taji la dhahabu na jani la mtende, pamoja na matawi ya mizeituni ya hekaluni. Siku ile hakusema neno.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

4 Alkimo alimwendea mfalme Demetrio, mwaka 151. Kwa nafasi hiyo alimpatia mfalme zawadi hizi: Taji ya dhahabu, tawi la mtende, na matawi ya mizeituni ambayo kijadi yalitolewa kwa hekalu. Lakini hakusema lolote juu ya mipango yake.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:4
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo