Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Katika siku za kwanza za matata alikuwa ameshtakiwa kwa kuwa ni Myahudi, naye alijihatarisha mwili wake na maisha yake kwa ushujaa mwingi kwa ajili ya Uyahudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Siku za mwanzo za mapinduzi alikuwa amejitoa mhanga maisha yake kwa ajili ya dini ya Kiyahudi, na alikuwa ameshtakiwa kwa sababu hiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Siku za mwanzo za mapinduzi alikuwa amejitoa mhanga maisha yake kwa ajili ya dini ya Kiyahudi, na alikuwa ameshtakiwa kwa sababu hiyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Katika siku za kwanza za matata alikuwa ameshtakiwa kwa kuwa ni Myahudi, naye alijihatarisha mwili wake na maisha yake kwa ushujaa mwingi kwa ajili ya Uyahudi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

38 Siku za mwanzo za mapinduzi alikuwa amejitoa mhanga maisha yake kwa ajili ya dini ya Kiyahudi, na alikuwa ameshtakiwa kwa sababu hiyo.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:38
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo