Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 14:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Akiisha kusema hayo aliondoka. Lakini makuhani, wakiinua mikono yao kuelekea mbinguni, walimwomba Yule anayelipigania taifa letu daima, wakisema: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Kisha, akaondoka, na mara wale makuhani wakainua mikono kuelekea mbinguni, wakasali kwa Mungu, Mlinzi mwaminifu wa taifa letu: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Kisha, akaondoka, na mara wale makuhani wakainua mikono kuelekea mbinguni, wakasali kwa Mungu, Mlinzi mwaminifu wa taifa letu: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI34 Akiisha kusema hayo aliondoka. Lakini makuhani, wakiinua mikono yao kuelekea mbinguni, walimwomba Yule anayelipigania taifa letu daima, wakisema: Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA34 Kisha, akaondoka, na mara wale makuhani wakainua mikono kuelekea mbinguni, wakasali kwa Mungu, Mlinzi mwaminifu wa taifa letu: Tazama sura |