Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 alinyosha mkono wake wa kuume kwenye patakatifu akaapa kiapo hiki: Kama msipomtoa Yuda mfungwa kwangu, nitaiangusha nyumba hii ya Mungu hata nchi, na kuivunja madhabahu, na kujenga hapa hekalu la Dioniso watu wote walione.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Ndipo Nikanori akanyosha mkono wake wa kulia kuelekea hekalu, akaapa: “Msipomtoa Yuda na kumkabidhi kwangu kama mfungwa, nitalibomoa na kulipondaponda hili hekalu la Mungu; nitaivunjilia mbali hii madhabahu, na kujenga mahali hapahapa hekalu tukufu la Dionisio.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Ndipo Nikanori akanyosha mkono wake wa kulia kuelekea hekalu, akaapa: “Msipomtoa Yuda na kumkabidhi kwangu kama mfungwa, nitalibomoa na kulipondaponda hili hekalu la Mungu; nitaivunjilia mbali hii madhabahu, na kujenga mahali hapahapa hekalu tukufu la Dionisio.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 alinyosha mkono wake wa kuume kwenye patakatifu akaapa kiapo hiki: Kama msipomtoa Yuda mfungwa kwangu, nitaiangusha nyumba hii ya Mungu hata nchi, na kuivunja madhabahu, na kujenga hapa hekalu la Dioniso watu wote walione.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

33 Ndipo Nikanori akanyosha mkono wake wa kulia kuelekea hekalu, akaapa: “Msipomtoa Yuda na kumkabidhi kwangu kama mfungwa, nitalibomoa na kulipondaponda hili hekalu la Mungu; nitaivunjilia mbali hii madhabahu, na kujenga mahali hapahapa hekalu tukufu la Dionisio.”

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:33
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo