Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 14:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Nao waliposema kwa kiapo ya kuwa hawajui yupo wapi mtu huyu anayemtafuta, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Lakini makuhani wakasema kwa kiapo ya kwamba hawakujua Yuda alikuwa amejificha wapi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Lakini makuhani wakasema kwa kiapo ya kwamba hawakujua Yuda alikuwa amejificha wapi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Nao waliposema kwa kiapo ya kuwa hawajui yupo wapi mtu huyu anayemtafuta, Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA32 Lakini makuhani wakasema kwa kiapo ya kwamba hawakujua Yuda alikuwa amejificha wapi. Tazama sura |