Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Basi huyo, alipofahamu ya kuwa ameshindwa kishujaa kwa werevu wa Yuda, alikwenda kwenye hekalu takatifu, lililo kuu, wakati makuhani walipokuwa wakitoa dhabihu za kawaida, akawaambia wamtolee yule mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Nikanori alipogundua kwamba Yuda alikuwa amemshinda kwa werevu, akaenda kwenye hekalu kuu na takatifu wakati makuhani wanatolea tambiko, akawaamuru wamlete Yuda kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Nikanori alipogundua kwamba Yuda alikuwa amemshinda kwa werevu, akaenda kwenye hekalu kuu na takatifu wakati makuhani wanatolea tambiko, akawaamuru wamlete Yuda kwake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Basi huyo, alipofahamu ya kuwa ameshindwa kishujaa kwa werevu wa Yuda, alikwenda kwenye hekalu takatifu, lililo kuu, wakati makuhani walipokuwa wakitoa dhabihu za kawaida, akawaambia wamtolee yule mtu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

31 Nikanori alipogundua kwamba Yuda alikuwa amemshinda kwa werevu, akaenda kwenye hekalu kuu na takatifu wakati makuhani wanatolea tambiko, akawaamuru wamlete Yuda kwake.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:31
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo