Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Basi, kulikuwa na mtu mmoja Alkimo, kuhani mkuu wa zamani, aliyejitia unajisi kwa hiari yake mwenyewe wakati wa matata. Huyu alijua ya kuwa yumo sasa katika hatari, wala hataweza tena kuiendea madhabahu takatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kulikuwa na mtu mmoja aliyeitwa Alkimo. Kabla yake alikuwa kuhani mkuu, ambaye kwa furaha alikuwa amekubali kuishi kama Wagiriki wakati ule wa maasi. Akitambua kwamba asingeweza tena kamwe kuwa kuhani mkuu, na kwamba alikuwa katika hatari,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kulikuwa na mtu mmoja aliyeitwa Alkimo. Kabla yake alikuwa kuhani mkuu, ambaye kwa furaha alikuwa amekubali kuishi kama Wagiriki wakati ule wa maasi. Akitambua kwamba asingeweza tena kamwe kuwa kuhani mkuu, na kwamba alikuwa katika hatari,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Basi, kulikuwa na mtu mmoja Alkimo, kuhani mkuu wa zamani, aliyejitia unajisi kwa hiari yake mwenyewe wakati wa matata. Huyu alijua ya kuwa yumo sasa katika hatari, wala hataweza tena kuiendea madhabahu takatifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

3 Kulikuwa na mtu mmoja aliyeitwa Alkimo. Kabla yake alikuwa kuhani mkuu, ambaye kwa furaha alikuwa amekubali kuishi kama Wagiriki wakati ule wa maasi. Akitambua kwamba asingeweza tena kamwe kuwa kuhani mkuu, na kwamba alikuwa katika hatari,

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:3
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo