Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Nikano alipopata maagizo hayo alitunduwaa; akafadhaika sana alipofikiri jinsi itakavyompasa kuyavunja mapatano waliyoyafanya, hali yule mtu hana kosa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Taarifa hiyo ilipomfikia, Nikanori aliumia sana moyoni, asijue la kufanya, kwa sababu hakutaka kuvunja mkataba na mtu aliyekuwa ameshika masharti yote kwa upande wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Taarifa hiyo ilipomfikia, Nikanori aliumia sana moyoni, asijue la kufanya, kwa sababu hakutaka kuvunja mkataba na mtu aliyekuwa ameshika masharti yote kwa upande wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Nikano alipopata maagizo hayo aliduwaa; akafadhaika sana alipofikiri jinsi itakavyompasa kuyavunja mapatano waliyoyafanya, hali yule mtu hana kosa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

28 Taarifa hiyo ilipomfikia, Nikanori aliumia sana moyoni, asijue la kufanya, kwa sababu hakutaka kuvunja mkataba na mtu aliyekuwa ameshika masharti yote kwa upande wake.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:28
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo