Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Mfalme akaghadhibika, na kwa jinsi alivyotiwa hasira kwa masingizio ya huyo mlaghai, alimwandikia Nikano kumwarifu ya kuwa yale mapatano hayampendezi na kumwamuru ampeleke Makabayo mfungwa mpaka Antiokia bila kukawia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Mashtaka hayo ya uongo yalimkasirisha sana mfalme. Katika ghadhabu yake, mfalme akamwandikia Nikanori, akimwarifu ya kwamba hakuwa ameridhishwa na ule mkataba, na hivi alimwamuru ampeleke Yuda Makabayo kama mfungwa Antiokia bila kuchelewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Mashtaka hayo ya uongo yalimkasirisha sana mfalme. Katika ghadhabu yake, mfalme akamwandikia Nikanori, akimwarifu ya kwamba hakuwa ameridhishwa na ule mkataba, na hivi alimwamuru ampeleke Yuda Makabayo kama mfungwa Antiokia bila kuchelewa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Mfalme akaghadhibika, na kwa jinsi alivyotiwa hasira kwa masingizio ya huyo mlaghai, alimwandikia Nikano kumwarifu ya kuwa yale mapatano hayampendezi na kumwamuru ampeleke Makabayo mfungwa mpaka Antiokia bila kukawia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

27 Mashtaka hayo ya uongo yalimkasirisha sana mfalme. Katika ghadhabu yake, mfalme akamwandikia Nikanori, akimwarifu ya kwamba hakuwa ameridhishwa na ule mkataba, na hivi alimwamuru ampeleke Yuda Makabayo kama mfungwa Antiokia bila kuchelewa.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:27
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo