Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Lakini Alkimo, alipoona walivyofanyana urafiki, alijipatia masharti ya yale mapatano yaliyofanyika, akamwendea Demetrio. Akamwarifu kwamba Nikano hana nia njema kwa ufalme, madhali amemweka yule mfitini Yuda awe mrithi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Alkimo alipoona Nikanori na Yuda wanapatana vizuri, akatwaa nakala ya mkataba ule, akamwendea mfalme Demetrio. Alimwambia mfalme kwamba Nikanori hakuwa mwaminifu kwa serikali, kwa sababu alikuwa amemteua msaliti Yuda ashike utawala baada yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Alkimo alipoona Nikanori na Yuda wanapatana vizuri, akatwaa nakala ya mkataba ule, akamwendea mfalme Demetrio. Alimwambia mfalme kwamba Nikanori hakuwa mwaminifu kwa serikali, kwa sababu alikuwa amemteua msaliti Yuda ashike utawala baada yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Lakini Alkimo, alipoona walivyofanyana urafiki, alijipatia masharti ya yale mapatano yaliyofanyika, akamwendea Demetrio. Akamwarifu kwamba Nikano hana nia njema kwa ufalme, madhali amemweka yule mfitini Yuda awe mrithi wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

26 Alkimo alipoona Nikanori na Yuda wanapatana vizuri, akatwaa nakala ya mkataba ule, akamwendea mfalme Demetrio. Alimwambia mfalme kwamba Nikanori hakuwa mwaminifu kwa serikali, kwa sababu alikuwa amemteua msaliti Yuda ashike utawala baada yake.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:26
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo