Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Hata hivi, Nikano, akipata sifa za ushujaa wa Yuda na watu wake, na nguvu yao katika vita walivyoipigania nchi yao, aliona shaka juu ya kupimana nguvu kwa vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hata hivyo, Nikanori aliposikia jinsi Yuda na watu wake walivyokuwa wanaipigania nchi yao kwa ushujaa na moyo, akaamua kuacha mapigano na kumaliza hayo matatizo kwa njia nyingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hata hivyo, Nikanori aliposikia jinsi Yuda na watu wake walivyokuwa wanaipigania nchi yao kwa ushujaa na moyo, akaamua kuacha mapigano na kumaliza hayo matatizo kwa njia nyingine.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Hata hivi, Nikano, akipata sifa za ushujaa wa Yuda na watu wake, na nguvu yao katika vita walivyoipigania nchi yao, aliona shaka juu ya kupimana nguvu kwa vita.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

18 Hata hivyo, Nikanori aliposikia jinsi Yuda na watu wake walivyokuwa wanaipigania nchi yao kwa ushujaa na moyo, akaamua kuacha mapigano na kumaliza hayo matatizo kwa njia nyingine.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:18
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo