Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Simoni, ndugu yake Yuda, alikuwa amekwisha kupambana na Nikano, lakini alishikwa na fadhaa kwa wingi wa adui, akasimamishwa kwa muda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Simoni nduguye Yuda, alikuwa anapigana na Nikanori, lakini alikuwa anazidi kulemewa kwa sababu ya miondoko isiyotazamiwa ya adui.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Simoni nduguye Yuda, alikuwa anapigana na Nikanori, lakini alikuwa anazidi kulemewa kwa sababu ya miondoko isiyotazamiwa ya adui.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Simoni, ndugu yake Yuda, alikuwa amekwisha kupambana na Nikano, lakini alishikwa na fadhaa kwa wingi wa adui, akasimamishwa kwa muda.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

17 Simoni nduguye Yuda, alikuwa anapigana na Nikanori, lakini alikuwa anazidi kulemewa kwa sababu ya miondoko isiyotazamiwa ya adui.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:17
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo