Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 14:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Kisha kwa amri ya kiongozi wao, waliondoka upesi wakapambana na adui penye mji uitwao Lesau.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Basi, kwa amri ya kiongozi wao, wakatoka mara moja kwenda kumpiga adui karibu na kijiji cha Adasa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Basi, kwa amri ya kiongozi wao, wakatoka mara moja kwenda kumpiga adui karibu na kijiji cha Adasa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Kisha kwa amri ya kiongozi wao, waliondoka upesi wakapambana na adui penye mji uitwao Lesau.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

16 Basi, kwa amri ya kiongozi wao, wakatoka mara moja kwenda kumpiga adui karibu na kijiji cha Adasa.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 14:16
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo