Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 14:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ikawa, baada ya miaka mitatu, Yuda na wenzake waliletewa habari ya kuwa Demetrio mwana wa Seleuko, pamoja na jeshi kubwa na merikebu nyingi, ameingia katika bandari ya Tripoli na kuishika nchi yote, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Miaka mitatu baadaye, Yuda na watu wake walipata habari kwamba Demetrio, mwana wa Seleuko alikuwa ameingia bandarini Tripoli akiwa na jeshi lenye nguvu na msururu wa meli, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Miaka mitatu baadaye, Yuda na watu wake walipata habari kwamba Demetrio, mwana wa Seleuko alikuwa ameingia bandarini Tripoli akiwa na jeshi lenye nguvu na msururu wa meli, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Ikawa, baada ya miaka mitatu, Yuda na wenzake waliletewa habari ya kuwa Demetrio mwana wa Seleuko, pamoja na jeshi kubwa na merikebu nyingi, ameingia katika bandari ya Tripoli na kuishika nchi yote, Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA1 Miaka mitatu baadaye, Yuda na watu wake walipata habari kwamba Demetrio, mwana wa Seleuko alikuwa ameingia bandarini Tripoli akiwa na jeshi lenye nguvu na msururu wa meli, Tazama sura |