Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Mfalme alikuwa akija kwa hasira kali akikusudia kuwatesa Wayahudi kwa yale mateso makali zaidi yaliyowapata zamani za baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mfalme Antioko, kwa kiburi chake, alipania kuja kuwatesa Wayahudi kwa mateso makali zaidi kuliko baba yake alivyokuwa amewatesa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mfalme Antioko, kwa kiburi chake, alipania kuja kuwatesa Wayahudi kwa mateso makali zaidi kuliko baba yake alivyokuwa amewatesa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Mfalme alikuwa akija kwa hasira kali akikusudia kuwatesa Wayahudi kwa yale mateso makali zaidi yaliyowapata zamani za baba yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

9 Mfalme Antioko, kwa kiburi chake, alipania kuja kuwatesa Wayahudi kwa mateso makali zaidi kuliko baba yake alivyokuwa amewatesa.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:9
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo