Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Huko huletwa mtu aliyeteka mahekalu au kufanya kosa jingine lililo baya sana, na wote humsukumia mbele kwenye kufa kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Watu wanaoshtakiwa kwa kuikosea miungu, au kwa kufanya kosa kubwa lingine lolote lile, hupelekwa huko mnarani na kusukumizwa chini wafe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Watu wanaoshtakiwa kwa kuikosea miungu, au kwa kufanya kosa kubwa lingine lolote lile, hupelekwa huko mnarani na kusukumizwa chini wafe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Huko huletwa mtu aliyeteka mahekalu au kufanya kosa jingine lililo baya sana, na wote humsukumia mbele ili afe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

6 Watu wanaoshtakiwa kwa kuikosea miungu, au kwa kufanya kosa kubwa lingine lolote lile, hupelekwa huko mnarani na kusukumizwa chini wafe.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:6
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo