Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Maana huko kuna mnara wenye urefu wa mikono hamsini ambao umejazwa majivu, na ukingo kimeuzunguka pande zote ambacho chateremkia moja kwa moja kwenye majivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Katika mji huo umo mnara wenye urefu wa mita 22 hivi kwenda juu. Umejazwa majivu, na, kuzunguka mnara huo, kwa ndani, kuna jukwaa ambalo ngazi zake zateremkia kwenye majivu hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Katika mji huo umo mnara wenye urefu wa mita 22 hivi kwenda juu. Umejazwa majivu, na, kuzunguka mnara huo, kwa ndani, kuna jukwaa ambalo ngazi zake zateremkia kwenye majivu hayo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Maana huko kuna mnara wenye urefu wa mikono hamsini ambao umejazwa majivu, na ukingo kimeuzunguka pande zote ambacho chateremkia moja kwa moja kwenye majivu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

5 Katika mji huo umo mnara wenye urefu wa mita 22 hivi kwenda juu. Umejazwa majivu, na, kuzunguka mnara huo, kwa ndani, kuna jukwaa ambalo ngazi zake zateremkia kwenye majivu hayo.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:5
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo