Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Lakini Mfalme wa wafalme alimtia Antioko hasira juu ya mtu huyu mbaya, hata Lisia alipomwarifu ya kuwa huyu ndiye asili ya matata yote, mfalme aliagiza aletwe Beroya na kuuawa kwa kawaida ya mahali pale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Lakini Mfalme wa wafalme, akamtia Antioko hasira dhidi ya Menelao. Lisia alimhakikishia Antioko kwamba huyo mwovu ndiye aliyekuwa amesababisha shida na matatizo yake yote; kwa hiyo Antioko akaamuru Menelao apelekwe mjini Berea na kuuawa huko kwa mtindo wa hukohuko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Lakini Mfalme wa wafalme, akamtia Antioko hasira dhidi ya Menelao. Lisia alimhakikishia Antioko kwamba huyo mwovu ndiye aliyekuwa amesababisha shida na matatizo yake yote; kwa hiyo Antioko akaamuru Menelao apelekwe mjini Berea na kuuawa huko kwa mtindo wa hukohuko.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Lakini Mfalme wa wafalme alimtia Antioko hasira juu ya mtu huyu mbaya, hata Lisia alipomwarifu ya kuwa huyu ndiye asili ya matata yote, mfalme aliagiza aletwe Beroya na kuuawa kwa kawaida ya mahali pale.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

4 Lakini Mfalme wa wafalme, akamtia Antioko hasira dhidi ya Menelao. Lisia alimhakikishia Antioko kwamba huyo mwovu ndiye aliyekuwa amesababisha shida na matatizo yake yote; kwa hiyo Antioko akaamuru Menelao apelekwe mjini Berea na kuuawa huko kwa mtindo wa hukohuko.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:4
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo