Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Menelao pia alijiunga nao, akajipendekeza kwao kwa maneno mengi, si kwa sababu aliifikiri hali njema ya nchi, ila kwa kuwa alitumaini kupata kazi serikali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Menelao alijiunga nao pia, na kwa unafiki akawahimiza kuendelea na harakati hiyo, si kwa sababu aliitakia mema nchi, ila kwa sababu alitumaini angethibitishwa katika wadhifa wa kuhani mkuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Menelao alijiunga nao pia, na kwa unafiki akawahimiza kuendelea na harakati hiyo, si kwa sababu aliitakia mema nchi, ila kwa sababu alitumaini angethibitishwa katika wadhifa wa kuhani mkuu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Menelao pia alijiunga nao, akajipendekeza kwao kwa maneno mengi, si kwa sababu aliifikiri hali njema ya nchi, ila kwa kuwa alitumaini kupata kazi ya serikali.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

3 Menelao alijiunga nao pia, na kwa unafiki akawahimiza kuendelea na harakati hiyo, si kwa sababu aliitakia mema nchi, ila kwa sababu alitumaini angethibitishwa katika wadhifa wa kuhani mkuu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:3
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo