Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Lisia akafika barazani akayatetea awezavyo, akawashawishi na kuwatuliza na kuwaridhisha. Kisha alikwenda Antiokia. Hivyo ndivyo mfalme alivyokuja na kuondoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Lakini Lisia akatoa hotuba ya hadhara, akautetea mkataba huo kwa ufasaha wake wote, akafaulu kuwatuliza watu na kupata kibali chao. Kisha akarejea Antiokia. Hivyo ndivyo uvamizi wa mfalme Antioko na kurudi nyuma kwake kulivyokuwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Lakini Lisia akatoa hotuba ya hadhara, akautetea mkataba huo kwa ufasaha wake wote, akafaulu kuwatuliza watu na kupata kibali chao. Kisha akarejea Antiokia. Hivyo ndivyo uvamizi wa mfalme Antioko na kurudi nyuma kwake kulivyokuwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Lisia akafika barazani akayatetea awezavyo, akawashawishi na kuwatuliza na kuwaridhisha. Kisha alikwenda Antiokia. Hivyo ndivyo mfalme alivyokuja na kuondoka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

26 Lakini Lisia akatoa hotuba ya hadhara, akautetea mkataba huo kwa ufasaha wake wote, akafaulu kuwatuliza watu na kupata kibali chao. Kisha akarejea Antiokia. Hivyo ndivyo uvamizi wa mfalme Antioko na kurudi nyuma kwake kulivyokuwa.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:26
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo