Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Watu wa Tolemaisi walichukizwa na mapatano hayo wakawakasirikia Wayahudi na kutaka kuyatangua masharti ya maagano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 halafu yeye mwenyewe akaenda zake Tolemai. Watu wa Tolemai walikuwa wamekasirika sana juu ya mkataba huo wakataka ufutiliwe mbali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 halafu yeye mwenyewe akaenda zake Tolemai. Watu wa Tolemai walikuwa wamekasirika sana juu ya mkataba huo wakataka ufutiliwe mbali.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Watu wa Tolemaisi walichukizwa na mapatano hayo wakawakasirikia Wayahudi na kutaka kuyatangua masharti ya maagano.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

25 halafu yeye mwenyewe akaenda zake Tolemai. Watu wa Tolemai walikuwa wamekasirika sana juu ya mkataba huo wakataka ufutiliwe mbali.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:25
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo