Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Mfalme akasemezana na watu wa Bethsura tena, akapeana nao yamini, akaondoka. Akalishambulia jeshi la Yuda, akashindwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Mfalme akajaribu kwa mara ya pili kufikia maafikiano na watu wa Beth-zuri, na alipofanikiwa, akaondoa askari wake. Halafu akaenda kumshambulia Yuda na watu wake, lakini tena akapigwa na kushindwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Mfalme akajaribu kwa mara ya pili kufikia maafikiano na watu wa Beth-zuri, na alipofanikiwa, akaondoa askari wake. Halafu akaenda kumshambulia Yuda na watu wake, lakini tena akapigwa na kushindwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Mfalme akasemezana na watu wa Bethsura tena, akapeana nao yamini, akaondoka. Akalishambulia jeshi la Yuda, akashindwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

22 Mfalme akajaribu kwa mara ya pili kufikia maafikiano na watu wa Beth-zuri, na alipofanikiwa, akaondoa askari wake. Halafu akaenda kumshambulia Yuda na watu wake, lakini tena akapigwa na kushindwa.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:22
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo