Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Mwishowe, wakiisha jaza kambi woga na fujo, waliondoka salama wakati wa mapambazuko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Mwishowe, kila mmoja kambini alijawa na kitisho na woga, naye Yuda na watu wake wakaondoka kwa ushindi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Mwishowe, kila mmoja kambini alijawa na kitisho na woga, naye Yuda na watu wake wakaondoka kwa ushindi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Mwishowe, wakiisha jaza kambi woga na fujo, waliondoka salama wakati wa mapambazuko.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

16 Mwishowe, kila mmoja kambini alijawa na kitisho na woga, naye Yuda na watu wake wakaondoka kwa ushindi.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:16
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo