Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 na baada ya kuwapa askari wake neno la shime, “Kushinda ni kwa Mungu”, yeye na kundi la vijana wateule, hodari sana, walilishambulia hema la mfalme usiku, wakaua watu wa kambini hata elfu mbili, wakawapiga mkuki tembo mkuu na mpandaji wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Yuda akawapa watu wake shime hii ya vita: “Ushindi hutoka kwa Mungu.” Basi, usiku ule, akiwa na kikosi maalumu cha vijana hodari kabisa, Yuda akafanya mashambulizi karibu na hema la mfalme na kuwaua watu wasiopungua 2,000. Pia akamchoma mkuki na kumuua tembo kiongozi na mpandaji wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Yuda akawapa watu wake shime hii ya vita: “Ushindi hutoka kwa Mungu.” Basi, usiku ule, akiwa na kikosi maalumu cha vijana hodari kabisa, Yuda akafanya mashambulizi karibu na hema la mfalme na kuwaua watu wasiopungua 2,000. Pia akamchoma mkuki na kumuua tembo kiongozi na mpandaji wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 na baada ya kuwapa askari wake neno la shime, “Kushinda ni kwa Mungu”, yeye na kundi la vijana wateule, hodari sana, walilishambulia hema la mfalme usiku, wakaua watu wa kambini hata elfu mbili, wakawapiga mkuki tembo mkuu na mpandaji wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

15 Yuda akawapa watu wake shime hii ya vita: “Ushindi hutoka kwa Mungu.” Basi, usiku ule, akiwa na kikosi maalumu cha vijana hodari kabisa, Yuda akafanya mashambulizi karibu na hema la mfalme na kuwaua watu wasiopungua 2,000. Pia akamchoma mkuki na kumuua tembo kiongozi na mpandaji wake.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:15
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo