Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Baada ya kusema faraghani na wazee, alikata shauri watoke na kupigana wawezavyo kwa msaada wa Mungu kabla mfalme hajawahi kuingiza jeshi lake katika Uyahudi na kuutwaa mji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Baada ya kushauriana faraghani na wazee wa Wayahudi, Yuda akaamua kutoka na kwenda kumkabili mfalme kwa msaada wa Mungu, kabla ya Antioko kuivamia Yudea na kuuteka mji wa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Baada ya kushauriana faraghani na wazee wa Wayahudi, Yuda akaamua kutoka na kwenda kumkabili mfalme kwa msaada wa Mungu, kabla ya Antioko kuivamia Yudea na kuuteka mji wa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Baada ya kusema faraghani na wazee, alikata shauri watoke na kupigana wawezavyo kwa msaada wa Mungu kabla mfalme hajawahi kuingiza jeshi lake katika Uyahudi na kuutwaa mji.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

13 Baada ya kushauriana faraghani na wazee wa Wayahudi, Yuda akaamua kutoka na kwenda kumkabili mfalme kwa msaada wa Mungu, kabla ya Antioko kuivamia Yudea na kuuteka mji wa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:13
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo