Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 13:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Katika mwaka wa mia moja arubaini na tisa, Yuda na watu wake walisikia ya kuwa Antioko Eupatori alikuwa akiingia Uyahudi na jeshi kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwaka 149, Yuda Makabayo na wafuasi wake walipata habari kwamba Antioko Eupatori alikuwa anakuja na jeshi kubwa kuikabili Yudea,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwaka 149, Yuda Makabayo na wafuasi wake walipata habari kwamba Antioko Eupatori alikuwa anakuja na jeshi kubwa kuikabili Yudea,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Katika mwaka wa mia moja arobaini na tisa, Yuda na watu wake walisikia ya kuwa Antioko Eupatori alikuwa akiingia Uyahudi na jeshi kubwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

1 Mwaka 149, Yuda Makabayo na wafuasi wake walipata habari kwamba Antioko Eupatori alikuwa anakuja na jeshi kubwa kuikabili Yudea,

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 13:1
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo