Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Akamwomba Mungu, Mwamuzi mwenye haki, akawaendea wale wauaji wa ndugu zake. Usiku akaichoma moto bandari na kuviteketeza vyombo, akaua kwa upanga wale waliojificha huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Baada ya kumwomba Mungu, hakimu mwenye haki, wakawashambulia wauaji hao. Usiku wakaichoma moto bandari na kuunguza meli zote, na kuwaulia mbali wote waliowafuma wamejificha melini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Baada ya kumwomba Mungu, hakimu mwenye haki, wakawashambulia wauaji hao. Usiku wakaichoma moto bandari na kuunguza meli zote, na kuwaulia mbali wote waliowafuma wamejificha melini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Akamwomba Mungu, Mwamuzi mwenye haki, akawaendea wale wauaji wa ndugu zake. Usiku akaichoma moto bandari na kuviteketeza vyombo, akaua kwa upanga wale waliojificha huko.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

6 Baada ya kumwomba Mungu, hakimu mwenye haki, wakawashambulia wauaji hao. Usiku wakaichoma moto bandari na kuunguza meli zote, na kuwaulia mbali wote waliowafuma wamejificha melini.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:6
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo