Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:45 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

45 Lakini kwa kuwa aliufikiri utukufu wa thawabu waliyowekewa wale wafao katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la kicho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Lakini akiwa anatazamia tuzo nzuri waliowekewa waliokufa wakiwa waaminifu kwa Mungu, hilo lilikuwa wazo jema na takatifu. Kwa hiyo Yuda alitolea tambiko ya upatanisho ili watu wapate kuondolewa dhambi zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Lakini akiwa anatazamia tuzo nzuri waliowekewa waliokufa wakiwa waaminifu kwa Mungu, hilo lilikuwa wazo jema na takatifu. Kwa hiyo Yuda alitolea tambiko ya upatanisho ili watu wapate kuondolewa dhambi zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

45 Lakini kwa kuwa aliufikiri utukufu wa thawabu waliyowekewa wale wafao katika utauwa, wazo lake lilikuwa takatifu na la kicho.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

45 Lakini akiwa anatazamia tuzo nzuri waliowekewa waliokufa wakiwa waaminifu kwa Mungu, hilo lilikuwa wazo jema na takatifu. Kwa hiyo Yuda alitolea tambiko ya upatanisho ili watu wapate kuondolewa dhambi zao.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:45
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo