Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:44 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

44 Maana kama asingalitumanini ya kuwa wale waliokufa watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana kuwaombea wafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 Kama asingekuwa na imani kwamba wafu watafufuliwa, ingekuwa ni upumbavu na kazi bure kuwaombea marehemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

44 Kama asingekuwa na imani kwamba wafu watafufuliwa, ingekuwa ni upumbavu na kazi bure kuwaombea marehemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

44 Maana kama asingalitumanini ya kuwa wale waliokufa watafufuka, ingalikuwa kazi bure isiyo na maana kuwaombea wafu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

44 Kama asingekuwa na imani kwamba wafu watafufuliwa, ingekuwa ni upumbavu na kazi bure kuwaombea marehemu.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:44
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo