Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili 2 Wamakabayo 12:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC42 wakajitia katika sala, wakiomba ile dhambi iliyotendwa ifutwe kabisa. Yuda, mtu mwadilifu, akawaonya watu wajitenge na dhambi, madhali wameona kwa macho yao wenyewe matokeo ya ile dhambi ya wale waliokufa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND42 na wakamwomba Bwana afutilie mbali dhambi hiyo. Kisha, Yuda, yule mtu mwadilifu, akawataka watu waepuke dhambi, kwa sababu walikuwa wamejionea wenyewe yaliyokuwa yamewapata wale waliokuwa wametenda dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza42 na wakamwomba Bwana afutilie mbali dhambi hiyo. Kisha, Yuda, yule mtu mwadilifu, akawataka watu waepuke dhambi, kwa sababu walikuwa wamejionea wenyewe yaliyokuwa yamewapata wale waliokuwa wametenda dhambi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI42 wakajitia katika sala, wakiomba ile dhambi iliyotendwa ifutwe kabisa. Yuda, mtu mwadilifu, akawaonya watu wajitenge na dhambi, madhali wameona kwa macho yao wenyewe matokeo ya ile dhambi ya wale waliokufa. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA42 na wakamwomba Bwana afutilie mbali dhambi hiyo. Kisha, Yuda, yule mtu mwadilifu, akawataka watu waepuke dhambi, kwa sababu walikuwa wamejionea wenyewe yaliyokuwa yamewapata wale waliokuwa wametenda dhambi. Tazama sura |