Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

2 Wamakabayo 12:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

40 Ndipo walipoona talasimu chini ya nguo za kila mmoja, yaani sanamu ndogo za miungu ya Yamnia, ambazo zilikatazwa kabisa kwa Wayahudi kwa sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Lakini katika kila maiti, walikuta zimefichwa nguoni sanamu ndogondogo za miungu iliyoabudiwa Yamnia, jambo ambalo sheria inawakataza Wayahudi kuzivaa. Hapo kila mtu alijua kwa nini hao walikuwa wameuawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Lakini katika kila maiti, walikuta zimefichwa nguoni sanamu ndogondogo za miungu iliyoabudiwa Yamnia, jambo ambalo sheria inawakataza Wayahudi kuzivaa. Hapo kila mtu alijua kwa nini hao walikuwa wameuawa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 Ndipo walipoona talasimu chini ya nguo za kila mmoja, yaani sanamu ndogo za miungu ya Yamnia, ambazo zilikatazwa kabisa kwa Wayahudi kwa sheria.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

40 Lakini katika kila maiti, walikuta zimefichwa nguoni sanamu ndogondogo za miungu iliyoabudiwa Yamnia, jambo ambalo sheria inawakataza Wayahudi kuzivaa. Hapo kila mtu alijua kwa nini hao walikuwa wameuawa.

Tazama sura Nakili




2 Wamakabayo 12:40
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo